Ausafa (pia inajulikana kama Uzappa[1]) ulikuwa mji wa enzi za Warumi katika mkoa wa Kirumi wa Afrika Proconsularis. Mji huo umejulikana kama magofu ya Ksour-Abd-El-Melek karibu na mji wa Maktar katika eneo la Gavana wa Siliana kaskazini mwa nchi ya Tunisia.

Zamani mji huo ulikuwa makao ya askofu wa mkoa wa Kirumi wa Byzacena.[2][3][4].

Marejeo hariri

  1. Charles Monchicourt. Kalaat-Senane. "Note sur l'orthographe et le sens de ce dernier mot." Revue Tunisienne. 1906; 13: p213–216
  2. Pius Bonifacius Gams, Series Episcoporum Ecclesiae Catholicae, (Leipzig, 1931), p. 464.
  3. Stefano Antonio Morcelli, Africa Christiana, Volume I, (Brescia, 1816) pp. 87-88.
  4. Auguste Audollent, v. Ausafa in Dictionnaire d'Histoire et de Géographie ecclésiastiques, vol. V, 1931, col. 765.
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ausafa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.