Gofu

(Elekezwa kutoka Magofu)

Kuhusu mchezo angalia Gofu (michezo)

Magofu ya msikiti huko Gedi, Kenya.

Gofu (pia ghofu; kutoka Kiarabu قف quff) ni namna ya kumtaja mtu au kitu kisicho katika hali zuri, kama mtu aliyekonda mno.[1]

Mara nyingi magofu yanataja sehemu ambako mabaki ya majengo ya zamani yanaonekana, kama vile magofu ya Gedi, magofu ya Kilwa Kisiwani.

Marejeo hariri

  1. Zamani ilitumiwa sana kwa watu ling. Sacleux 1939: Gofu (G. gondofu). ma-. Personne ou bête vieille et décharnée, n'ayant que la peau sur les os, émaciée et bonne à rien; vieille çarcasse Nyumba g., maison (case) en ruines, abandonnée.; Krapf 1882: Gofu, adv. desolate, gofu la niumba the ruins of a house