BSC Young Boys (Berner Sport Club Young Boys; pia inajulikana kama Young Boys) ni klabu ya soka ya Uswisi iliyoko mji mkuu wa Bern.

Hii ni logo ya Young Boys

Rangi ya klabu ni njano na nyeusi.

Hichi ni kikosi cha BSC Young Boys

Ni timu ya kwanza kucheza katika Ligi Kuu ya Uswisi na imeshinda michuano 16 ya Uswisi na makombe sita ya Uswisi.

Mwaka 1957 YB iliitwa jina la timu ya Uswisi ya mwaka.

YB ni mojawapo ya klabu za soka za Uswisi zilizofanikiwa zaidi duniani, na kufikia fainali za Kombe la Ulaya katika msimu wa 1958-59.

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu BSC Young Boys kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.