Balila ni chakula kinachoandaliwa kwa njegere zilizochemshwa pamoja na limau, kitunguu saumu, na viungo mbalimbali.[1] Kinapakuliwa kama mchanganyiko wa chakula cha moto.[2]

Balila

Jina hilo linatumika kwa vyakula mbalimbali vya Misri vinavyotengenezwa kwa unga, maziwa, karanga, na zabibu kavu.[3]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Balila (chakula) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.