Barkhad Abdi (alizaliwa Mogadishu, mkoa wa Banadir, Somalia, 1985) ni mwigizaji na mwongoza-sinema kutoka Somalia. Yeye alifanya uigizaji wake wa kwanza na muigizaji Tom Hank katika filamu ya Captain Phillips mwaka 2013. Yeye alipata umaarufu na heshima kwa filamu hii na hata alipata tuzo ya Muigizaji Bora katika uhusika wa usaidia kutoka Tuzo za Filamu za Chuo cha Briteni. Barkhad alipata kupendekezwa katikaTuzo za Chuo, Tuzo ya Duniani ya Dhahabu, na tunzo ya Chama cha Waigizaji wa Screen. Yeye alifanya uigizaji katika Eye in the Sky (2015), Good Time (2017) na Blade Runner 2049 (2017) pia. Barkhad ni maarufu kwa vipindi vya runinga kama mhusika mkuu katika kipindi cha runinga Castle Rock katika Hulu.

Barkhad Abdi

Barkhad Abdi
Amezaliwa 1985
Mogadishu
Jina lingine “cistern
Kazi yake mwigizaji na mwongoza-sinema kutoka Somalia

Maisha ya awali hariri

Wakati Abdi alipokuwa na miaka sita au saba, wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Somalia kuanza, Abdi na familia yake waliondoka Somalia na walihamia Yemen ili kujiunga na baba yake ambaye alikuwa mwalimu. Mwaka 1999, Abdi na familia yake walihamia tena Minneapolis, jimbo la Minnesota, kwa sababu Minneapois ilikuwa na jumuia mikubwa ya Wasomali. Kisha yeye akaenda akasoma katika Chuo kikuu cha Jimbo la Minnesota Moorhead. Maana ya  jina yake kwa lugha ya Kisomali ni “cistern” kama maji yanayowakilisha maisha. Kabla ya kuanza kazi katika tasnia ya filamu Abdi hufanya kazi ya kuendesha gari ya limousine na alikuwa DJ.

Kazi hariri

Abdi alianza tasnia ya filamu na filamu ya Captain Philips mwaka 2013. Yeye aliigiza kama haramia  aliitwa Abduwali Muse. Yeye aliajiriwa baada ya utafutaji wa ulimwenguni pote kwa mhusika mkuu Abdi na watu watatu wengine waliutaftaji wa kutoka watu mia saba katika mahojiano mwaka 2011 mjini Minneapolis. Yeye alipata dola 65,000 kwa filamu hizi na baada ya filamu ilimalizwa,Abdi alirudi kufanya kazi ya kuendesha limousine katika biashara ya kaka yake. Kwa kazi yake, Abdi alichaguliwa kwa Tuzo ya Chama cha Waigizaji wa Skrini, Tuzo ya Muigizaji Bora, Tuzo ya Chuo kwa Muigizaji Bora wa Kusaidia na Tuzo ya Globu ya dhahabu pia. Yeye alipata Tuzo ya BAFTA kwa Muigizaji Bora wa Kusaidia pia.

Mwaka 2015, Abdi alionekana katika kipindi cha Hawaii Tano-0, yeye kaimu mkuu wa zamani wa vita vya Roko Makoni. Mwaka huo alianza kufanya kazi kwenye filamu ya Trainwreck, ingawa hakuonekana kwenye filamu iliyomalizika. Alionekana pia katika Jicho la kusisimua la 2015 angani, akiigiza kama Jama Farah, na alikuwa na nafasi katika The Brothers Grimsby. Mwaka 2017 katika filamu The Pirates of Somalia, Abdi kaimu Msomali katika serikali. Yeye ni mtafsiri mitaa na alifanya kazi na mwandishi kutoka Canada wa habari anaitwa Jay Bahadur. Tabia yake alitasfiri mahojiano kati ya viongozi wakuu  wa maharamia wa ndani na Jay Bahadur, ambaye anarekodi motisha ya maharamia wa Kisomali katika wiki zinazoongoza kwa utekaji nyara wa Maersk Alabama.

  Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Barkhad Abdi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.