Barry Commoner

Mwanabiolojia wa Marekani, profesa wa chuo kikuu na mwanajamii wa kiikolojia

Barry Commoner (Mei 28, 1917 - 30 Septemba 2012) alikuwa mwanabiolojia, profesa wa chuo kikuu, na mwanasiasa nchini Marekani. Alikuwa mwanaikolojia mkuu na mmoja wa waanzilishi wa harakati za kisasa za mazingira. Alikuwa mkurugenzi wa Kituo cha Biolojia ya Mifumo Asili [1][2] na Mradi wake Muhimu wa Jenetiki.[3][4][5]Mnamo 1980 alikuamgombea wa Chama cha Wananchi katika uchaguzi wa urais nchini Marekani. [6] Kazi yake ya kusoma athari ya mionzi kutoka kwa majaribio ya silaha za nyuklia ilisababisha Mkataba wa Marufuku ya Majaribio ya Nyuklia mnamo 1963.

Barry_Commoner,mwanasiasa-mwanamazingira_mwandishi

Marejeo hariri

  1. Daum, Karl (Winter 2012–13). "Obituaries: Barry Commoner '37, Environmental and Social Activist". Columbia College Today. Columbia College. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-06-24. Iliwekwa mnamo 28 September 2020. He also founded the Center for Biology of Natural Systems in 1966 to promote research on ecological systems. In 2000, he stepped down as director to concentrate on new research projects of his own.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Barry Commoner". Barry Commoner Center for Health and the Environment. Iliwekwa mnamo 27 September 2020.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "Program". Critical Genetics Project. Queens College, City University of New York. December 4, 2002. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2003-02-11. Iliwekwa mnamo 28 September 2020. The program has been underway since February 2001. An initial analytical paper, "Unraveling the DNA Myth," has been published in the Harper's Magazine issue of February 2002....The Critical Genetics Project is a program of the Center for the Biology of Natural Systems (CBNS), Queens College, City University of New York  More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. U.S. Newswire (January 2002). "New Report Challenges Fundamentals of Genetic Engineering; Study Questions Safety of Genetically Engineered Foods". The Pure Water Gazette. Pure Water Products, LLC. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-04-19. Iliwekwa mnamo 28 September 2020. The study reported in Harper's Magazine is the initial publication of a new initiative called The Critical Genetics Project directed by Dr. Commoner in collaboration with molecular geneticist Dr. Andreas Athanasiou, at the Center for the Biology of Natural Systems, Queens College, City University of New York.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  5. Commoner, Barry (1 February 2002). "Unraveling the DNA myth". Harper's Magazine (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 28 September 2020.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  6. Lewis, Daniel (October 1, 2012). "Scientist, Candidate and Planet Earth's Lifeguard". The New York Times. Iliwekwa mnamo March 11, 2018.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Barry Commoner kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.