Beatus Kinyaiya, O.F.M.Cap. (amezaliwa 9 Mei 1957) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania.

Aliwekwa wakfu na Kardinali Polycarp Pengo mwaka 2006. Tangu mwaka huo alikuwa askofu wa Jimbo la Mbulu hadi 2014 alipohamishiwa Jimbo Kuu la Dodoma kama askofu mkuu.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.