Jimbo Katoliki la Mbulu

Jimbo Katoliki la Mbulu (kwa Kilatini "Dioecesis Mbuluensis") ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Kanisa la Mbulu.

Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Arusha.

Askofu wake ni Anthony Lagwen.

Historia hariri

Uongozi hariri

Takwimu hariri

Eneo ni la kilometa mraba 16,057, ambapo kati ya wakazi 1,250,417 (2016) Wakatoliki ni 339,619 (27.2%).

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Katoliki la Mbulu kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.