Bentley Motors Limited (linalotamkwa/ bɛntli /) ni mtengenezaji wa Uingereza na muuzaji wa magari ya kifahari na suv-na kampuni tanzu ya Volkswagen AG tangu mwaka 1998.

Bentley logo 2002-2016
Bentley ArngaeMr987

Makao makuu yako Crewe, England.

Kampuni hiyo ilianzishwa kama Bentley Motors Limited na WO Bentley mwaka wa 1919 huko Cricklewood, North London ikajulikana sana kwa kushinda tuzo ya 24 hours of Le Mans mwaka 1924, 1927, 1928, 1929, 1930, na 2003.

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bentley kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.