1919
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| ►
◄◄ |
◄ |
1915 |
1916 |
1917 |
1918 |
1919
| 1920
| 1921
| 1922
| 1923
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1919 BK (Baada ya Kristo).
Matukio hariri
- 28 Juni - - Mkataba wa Versailles kusainiwa - mwisho wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia kati ya Ujerumani na washindi
- 19 Agosti - Nchi ya Afghanistan inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 31 Oktoba - Nchi ya Iraq inapata uhuru kutoka Uturuki.
Waliozaliwa hariri
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 9 Januari - William Meredith, mshairi kutoka Marekani
- 13 Januari - Ali Muhsin al-Barwani, mwanasiasa kutoka Zanzibar
- 17 Machi - Nat King Cole, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1 Aprili - Joseph Murray, daktari kutoka Marekani, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1990
- 22 Aprili - Donald Cram, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1987
- 19 Juni - Placidus Gervasius Nkalanga, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 20 Julai - Edmund Hillary, mpelelezi kutoka New Zealand
- 25 Agosti - George Wallace, mwanasiasa kutoka Marekani
- 28 Agosti - Godfrey Hounsfield, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1979
- 5 Oktoba - Donald Pleasence, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 11 Oktoba - Art Blakey, mwanamuziki kutoka Marekani
- 18 Oktoba - Suzanne Bachelard, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 22 Oktoba - Doris Lessing, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2007
- 9 Desemba - Mary Benson, mwandishi wa kike wa Afrika Kusini
- 9 Desemba - William Lipscomb, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1976
- 17 Desemba - Ezekiel Mphahlele, mwandishi kutoka Afrika Kusini
bila tarehe
- Noni Jabavu, mwandishi wa Afrika Kusini
Waliofariki hariri
- 6 Januari - Theodore Roosevelt (Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1906
- 22 Januari - Carl Larsson, mchoraji kutoka Uswidi
- 30 Juni - Lord Rayleigh, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1904
- 15 Julai - Hermann Emil Fischer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1902
- 11 Oktoba - Karl Gjellerup, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1917
- 15 Novemba - Alfred Werner, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1913