Bocholt ni manispaa ilipo mjini kaskazini-magharibi mwa jimbo la Rhine Kaskazini - Westfalia, Ujerumani, katika moja kati ya sehemu y wilaya ya Borken. Mji upo 4 km kusini mwa mpaka wa nchi ya Uholanzi. Takriban watu 73,640 wanaishi huko (sensa ya 2006).

Bocholt
Bocholt is located in Ujerumani
Bocholt
Bocholt

Mahali pa katika Ujerumani

Majiranukta: 51°50′00″N 06°37′00″E / 51.83333°N 6.61667°E / 51.83333; 6.61667
Nchi Ujerumani
Jimbo Rhine Kaskazini - Westfalia
Idadi ya wakazi (2009)
 - Wakazi kwa ujumla 73,279
Tovuti:  http://www.bocholt.de/
Mji wa Bocholt

Viungo vya Nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bocholt kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.