Boyaokozi (kwa Kiingereza "lifebuoy") ni kifaa chepesi kitumikacho kwenye chombo cha kusafiria majini ikitokea shida ili kuokoa uhai wa watu na kufanya vitu vielee.

Boyaokozi chomboni.

Boya ni kama puto ambalo hutumiwa na mtu asiyeweza kuogelea na humsaidia mtu huyo ili asiweze kuzama katika maji ya bahari, mto, bwawa na sehemu mbalimbali za kuogelea.

Mara nyingi boya hujazwa upepo kwa kutumia pampu au kijazio chochote cha kujazia upepo.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.