Buenos Aires
(Elekezwa kutoka Buenos Aires, Argentina)
Buenos Aires (kihisp.: "upepo mzuri") ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Argentina katika Amerika Kusini mwenye wakazi 2,776,234.
Jiji la Buenos Aires | |
Nchi | Argentina |
---|
Mji uko kando la Río de la Plata kwenye pwani la mashariki ya Amerika Kusini kwa 34°36′S na 58°23′W. Magharibi ya Buenos Aires zinanaza tambarare zenye rutba za pampa.
Viungo vya njeEdit
- Google Maps Satellite city View
- digital Buenos Aires
- Buenos Aires Travel Guide
- english.buenosaires.com - Tourism Portal[dead link]
- Official Tourism Website (English, Spanish, Portuguese and guides in ten different languages including Chinese, Japanese, French, German, Italian, etc.) Archived 20 Julai 2006 at the Wayback Machine.
Tovuti za magazeti ya Bienos AiresEdit
- (Kiingereza) The Buenos Aires Herald
- La Nación
- Infobae
- La Prensa
- Clarín
Makala hii kuhusu maeneo ya Argentina bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Buenos Aires kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |