Buku mkia-mrefu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Rodentia (Wagugunaji)
Nusuoda: Myomorpha (Wanyama kama panya)
Familia: Nesomyidae (Wanyama walio na mnasaba na buku)
Forsyth Major, 1897
Nusufamilia: Cricetomyinae (Wanyama wanaofanana na buku)
Jenasi: Beamys
Thomas, 1909
Ngazi za chini

Spishi 2:

Mabuku mkia-mrefu ni wanyama wa jenasi Beamys katika nusufamilia Cricetomyinae ya familia Nesomyidae ambao wanafanana na panya, lakini panya ni wanafamilia wa Muridae. Urefu wa mwili ni sm 13-19 na mkia una sm 10-16; uzito ni g 55-150. Wana pochi kwa ndani ya mashavu yao ambazo wazitumia kwa kuweka chakula. Rangi yao ni kijivu hadi kahawia juu na nyupe chini. Hula matunda, makokwa, mizizi na wadudu na hupenda machikichi sana.

Spishi hariri