Chelezo (utarakilishi)

Katika utarakilishi, chelezo (kwa Kiingereza: Backup) ni nakala ya data za tarakilishi ambayo inatunzwa kwingineko ili iweze kutumika kurejesha data baada ya upotevu wa data kutokea.

Chelezo kinaweza kutunzwa katika DVD, USB au kifaa cha kutunzia kingine.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.