Yul Choi ni mwanaharakati, mwanamazingira na mratibu wa Korea Kusini. Aliongoza Vuguvugu la Kupambana na Uchafuzi wa Mazingira korea kutoka 1988, na akaongoza Shirikisho la Kikorea la Harakati za Mazingira kutoka 1993. Alitunukiwa Tuzo ya Global 500 la Heshima mwaka wa 1994 na Tuzo ya Mazingira ya Goldman mwaka wa 1995. [1] Kwa sasa ni rais wa Korea Green Foundation.

Choi Yul

Marejeo hariri

  1. "Asia 1995. Yul Choi. South Korea. Toxic & Nuclear Contamination". Goldman Environmental Prize. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 23 November 2010. Iliwekwa mnamo 8 January 2011.  Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Choi Yul kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.