Daftari (kutoka neno la Kiarabu) ni kitabu cha mazoezi ambacho hutumika hasa kunakili kazi za shule na vitini.

Madaftari yenye majalada ya rangi mbalimbali.

Daftari linaweza kufanya kama rekodi ya msingi ya juhudi za wanafunzi za kujifunza.

Kwa wanafunzi wadogo, vitabu mara nyingi hukusanywa mwishoni mwa kila somo kwa kukagua, kuweka alama au kuorodhesha. Karatasi za loose zinaweza kutiwa ndani ya kitabu ili zimefungwa na kazi nyingine.

Daftari ni pia kitabu cha kutunzia kumbukumbu za mapato na matumizi.

Katika Kiswahili ni maarufu msemo, "Mali bila daftari, hupotea bila habari".

Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Daftari kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.