Damaris (kwa Kigiriki: Δάμαρις) alikuwa mwanamke wa Athene katika karne ya 1.

Matendo ya Mitume (17:34) kinamtaja kati ya wale waliomsikiliza Mtume Paulo alipohubiri kwenye Areopago mwaka 50 hivi. Pamoja na Dionysius Mwareopago alisadiki maneno yake [1]

Baadaye tu wengine walianza kudhani alikuwa mke wa Dionysius.[2][3][4][5]

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Oktoba[6] ambayo ni sawa na 16 Oktoba katika kalenda ya Gregori.

Tanbihi hariri

  1. "Howbeit certain men clave unto him, and believed: among the which was Dionysius the Areopagite, and a woman named Damaris, and others with them."
  2. Mark W. Hamilton, Thomas H. Olbricht, Jeffrey Peterson (eds.), Renewing Tradition: Studies in Texts and Contexts in Honor of James W. Thompson (2006), 217.
  3. e.g. Clare K. Rothschild, Paul in Athens: The Popular Religious Context of Acts 17 (2014), p. 97; Josef Hainz, "Personenlexikon zum Neuen Testament. Wissenschaftliche Buchgesellschaft", Darmstadt 2004.
  4. Craig S. Keener, Acts: An Exegetical Commentary : Volume 3: 15:1-23:35 (2014).
  5. Acts (Baker Exegetical Commentary on the New Testament) Darrell L. Bock - 2007 "The reference to Damaris continues Luke's focus on the response of women (Acts 16:15; 17:4, 12). She may be a foreigner, since women of Athens would not likely have been present (Witherington 1998: 533)...
  6. Church of Greece
  Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Damaris kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.