Daniel Owen James (alizaliwa 10 Novemba 1997) ni mchezaji wa soka ambaye anacheza kama winga kwa klabu ya Ligi Kuu ya Fulham na timu ya taifa ya Wales.

Daniel James

Alianza kuwa maarufu katika mpira wa miɡuu katika kilabu ya Swansea City mwezi Februari 2018, akajiunga na Manchester United mwezi Juni 2019.

Alionesha umahiri katika kuwakilisha taifa la Wales mnamo Novemba 2018, hapo ndipo alipo wakilisha timu yake vizuri katika nɡazi za vijana.

Alifanya Wales kuwa wa kwanza mwaka wa Novemba 2018, akiwa amewakilisha taifa katika ngazi mbalimbali za vijana.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Daniel James kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.