Deborah Bell

Msanii wa Afrika kusini

Deborah Bell (1957, Johannesburg ) ni mchoraji na mchongaji wa nchini Afrika Kusini ambaye kazi zake zinajulikana kimataifa. [1] [2]

Wasifu hariri

Bell alipata shahada ya sanaa kutoka Chuo Kikuu cha Witwatersrand mnamo mwaka 1975 na mnamo 1986 alipata Shahada ya Uzamili ya Sanaa katika chuo kikuu hicho hicho.

Marejeo hariri

  1. "Deborah Bell at Bekris Gallery". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 29 October 2013. Iliwekwa mnamo 1 February 2016.  Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. Ceves, James (2020). "Top 15 South African Artists". South African News-website "Briefly.co.za". Iliwekwa mnamo 2020-04-07. 
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Deborah Bell kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.