Desecheo ni kisiwa cha bahari ya Karibi karibu na Puerto Rico. Ni mali ya Marekani.

Kisiwa cha Desecheo

Kina eneo la kilometa mraba 1,5 na hakina wakazi.

Tanbihi hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Desecheo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.