Diodi ni kijenzi au kiambajengo elektroniki muhimu. Inafanya kazi kama valvu ya umeme ikiruhusu mkondo wa umeme kutiririka kuelekea upande mmoja tu.

Diodi mbalimbali

Diodi hutumiwa kubadilisha mkondo geu (AC) kuwa mkondo mnyovu (DC). Zinapatikana mara nyingi katika mitambo ya kutolea umeme kama vile ugawi wa umeme wa kompyuta. Kwa ndani vijenzi vya kompyuta hutumia mkondo mnyofu lakini umeme kutoka nje ni mkondo geu unaohitaji kubadilishwa, kazi inayofanya na diodo katika ugawi wa umeme.[1][2][3]]]

Siku hizi diodi hutumiwa zaidi na zaidi kwa umbo la diodi itoayo nuru (LED) ambazo siku hizi zinatumiwa katika taa kwa matumizi kidogo cha nishati kuliko taa za kawaida.

Siku hizi diodi hutengenezwa kwa kutumia dutu za nusu kipitishi (ing. semiconductor) kama vile silikoni au germani.

Marejeo hariri

  1. Tooley, Mike (2013). Electronic Circuits: Fundamentals and Applications, 3rd Ed. Routledge. p. 81. ISBN 978-1-136-40731-4. 
  2. Crecraft, Filip Mincic; Stephen Gergely (2002). Analog Electronics: Circuits, Systems and Signal Processing. Butterworth-Heinemann. p. 110. ISBN 0-7506-5095-8. 
  3. Horowitz, Paul; Winfield Hill (1989). The Art of Electronics, 2nd Ed. London: Cambridge University Press. p. 44. ISBN 0-521-37095-7. 
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.