Diski Gandamize (kwa kifupi: DIGA; pia: Diski Songamano[1]; kwa Kiingereza: Compact Disc; kifupi: CD) ni kifaa cha kutunzia data katika utarakilishi, inayotumika hasa kuandika, kutunza au kucheza sauti, video au data nyingine kwenye hali ya kidijiti.

Mfano wa Diski Gandamize.
CD-R, ya kuhifadhia maelezo muhimu ya tarakilishi.
CD-R, ya kuhifadhia maelezo muhimu ya tarakilishi.

Diski hii ni ya kigae, au/na ya plastiki.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.