Edgar Chagwa Lungu (amezaliwa 11 Novemba 1956) ni mwanasiasa wa Zambia ambaye alikuwa Rais wa Zambia tangu Januari 2015. Alishindwa katika uchaguzi wa urais wa 2021 na mpinzani wa muda mrefu Hakainde Hichilema.

Edgar Lungu
Edgar Lungu
Edgar Lungu
Tarehe ya kuzaliwa 11 Novemba 1956
Kazi Mwanasiasa
Mengine ambaye alikuwa Rais wa Zambia tangu Januari 2015


Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Edgar Lungu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.