Elibariki Emmanuel Kingu

Elibariki Emmanuel Kingu ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Singida Magharibi kwa miaka 20152020. Alimuomba Makamu wa Rais Samia Suluhu kuwa amsaidie apitishwe na CCM kugombea 2020 bila kupingwa ndani ya chama chake. Anapingana kwa wazi na wanasiasa wa CHADEMA na ACT Wazalendo[1].

Marejeo hariri

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017