Emmanuel Mapunda (10 Desemba 1935 - 16 Mei 2019) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania.

Aliwekwa wakfu na Papa Yohane Paulo II mwaka wa 1987.

Tangu mwaka huo alikuwa askofu wa Jimbo la Mbinga hadi mwaka 2011 alipostaafu.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.