Failuna Abdi Matanga
Failuna Abdi Matanga (alizaliwa 28 Oktoba 1992) ni mwanariadha wa kimataifa kutoka nchini Tanzania kwenye mbio ndefu.[1]
Failuna Abdi Matanga | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Kazi yake | Mwanariadha |
Mnamo Machi 2018 alipokea hundi ya kiasi cha Sh. milioni 1, kama mshindi wa pili wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon upande wa Kilometa 21.[2]
Vile vile ameshiriki mashindano ya dunia kwa upande wa wanawake wanaokimbia mita 10,000 mwaka 2017 huko Marekani.[3]
Tanbihi hariri
- ↑ Failuna Abdi Matanga. IAAF. Iliwekwa mnamo 11 August 2017.
- ↑ http://www.the-sports.org/failuna-abdi-matanga-athletics-spf480601.html
- ↑ 10,000 Metres Women. IAAF. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-04-03. Iliwekwa mnamo 11 August 2017.
Viungo vya Nje hariri
- IAAF wasifu wa Failuna Abdi Matanga