Faustine Ndugulile

Mbunge wa nchini Tanzania

Faustine Engelbert Ndugulile, (alizaliwa 31 Machi 1969) ni mwanasiasa wa chama cha CCM nchini Tanzania na ni mbunge wa jimbo la Kigamboni tangu mwaka 2010.[1]

Faustine Ndugulile

Mnamo 1997 alipata shahada ya udaktari wa madawa katika Chuo kikuu cha Dar es Salaam na mwaka 2001 alipata shahada ya uzamili katika mikrobiolojia na chanjo katika chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Marejeo hariri

  1. Member of Parliament CV. Bunge la Tanzania (2010). Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-11-03. Iliwekwa mnamo 2017-05-06.
  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Faustine Ndugulile kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.