'Maandishi ya kooze'Florence Omagbemi (alizaliwa 2 Februari 1975) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Nigeria ambae anacheza kama kiungo. Alishiriki na timu yake ya taifa katika makombe manne ya Dunia ya FIFA ya Wanawake, Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake na katika michuano ya Olimpiki ya mwaka 2000. Mwaka 2016 alitajwa kuwa kocha wa muda wa timu ya taifa ya Nigeria baada ya hapo awali kuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya wanawake chini ya miaka 20.[1][2]

Frorence omagbemi
Amezaliwa 2 Februari 1975
[Nigeria ]
Nchi [Nigeria ]
Kazi yake mchezaji wa mpira wa miguu

Marejeo hariri

  1. "Flo Omagbemi". Women's United Soccer Association. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2 February 2003. Iliwekwa mnamo 9 December 2020.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. , http://dailymail.com.ng/biographyprofilehistory-of-new-interim-coach-of-super-falcons-florence-omagbemi/
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Florence Omagbemi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.