Kundi la G8 lilikuwa likikusanya viongozi wa nchi 8 zilizoendelea sana kabla ya Russia kusimamishwa mwaka 2014 kwa sababu ya kuteka Krimea.[1][2][3] Tangu hapo, kundi limebaki na nchi za G7 pamoja na Umoja wa Ulaya.

Tanbihi

hariri

Marejeo

hariri

Viungo vya nje

hariri
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: