Garoua
Garoua ni mji uliopo katika nchi ya Kamerun, mkoa wa Kaskazini. Ndio makao makuu ya mkoa.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Garoua kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |