Glasgow
Glasgow ni mji katika Uskoti magharbi. Glasgow ni mji mkubwa zaidi kuliko yote ndani Uskoti, myenye wakazi karibu ya nusu ya milioni, lakini Glasgow si mji mkuu (Bunge ya Uskoti katika Edinburgh.
Jiji la Glasgow | |
Majiranukta: 55°51′29″N 4°15′32″W / 55.85806°N 4.25889°W | |
Nchi | Uskoti |
---|---|
Idadi ya wakazi | |
- | 580,690 |
Tovuti: www.glasgow.gov.uk |

Shipping on the Clyde, John Atkinson Grimshaw, 1881
Yana timu ya soka julikana mbili - Celtic na Rangers.
Viungo vya njeEdit
- (Kiingereza) Tovuti rasmi
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Glasgow kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |