Godeliève Mukasarasi

Mfanyakazi wa kijamii kutoka Rwanda, mwanzilishi na mratibu wa shirika la Solidarité pour l'Épanouissement des Veuves et des Orphelins visant le Travail et l'Auto-promotion (SEVOTA).

Godeliève Mukasarasi ( 1959 ) ni mfanyakazi wa kijamii wa Rwanda, mnusurika wa mauaji ya halaiki, na mwanaharakati wa maendeleo vijijini.[1][2]Aliunda shirika la Sevota kusaidia wanawake wajane na watoto baada ya mauaji ya kimbari.[3]

Godeliève Mukasarasi

Marejeo

hariri
  1. "Godeliève Mukasarasi (Rwanda)". International Centre for Human Rights and Democratic Development. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 30 Septemba 2011. Iliwekwa mnamo 17 Aprili 2011.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Sevota – Org" (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-02-17. Iliwekwa mnamo 2019-10-29.
  3. "Sevota – Org" (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-02-17. Iliwekwa mnamo 2019-10-29.
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Godeliève Mukasarasi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.