Godfrey Weston Zambi
Godfrey Weston Zambi (amezaliwa tar. 12 Juni 1962) ni mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu Godfrey Weston Zambi (17 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |