Gombakanzu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama jaja)
Oda: Poales (Mimea kama manyasi)
Familia: Panicoideae
Jenasi: Stenotaphrum
Spishi: S. dimidiatum
(L.) Brongn.

Gombakanzu au majani ya Pemba (Stenotaphrum dimidiatum) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Panicoideae. Nyasi hili huunda matabaka mazito ya manyasi, mara nyingi kwa pwani. Kwa sababu ya hiyo spishi hii na spishi ndugu S. secundatum hupandwa katika nyua.

Stenotaphrum secundatum, ambayo ni nyasi ndugu

Viungo vya nje hariri