Gundi
Gundi (kwa Kiingereza: Adhesive, glue, cement, mucilage au paste[1]) ni majimaji mazito yanayoweza kutokana na miti n.k. ambayo hutumika katika kugandisha au kuunganishia vitu mbalimbali, kwa mfano karatasi.

Gundi ikitoka katika chupa.
TanbihiEdit
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |