Gundi (kwa Kiingereza: Adhesive, glue, cement, mucilage au paste[1]) ni majimaji mazito yanayoweza kutokana na miti n.k. ambayo hutumika katika kugandisha au kuunganishia vitu mbalimbali, kwa mfano karatasi.

Gundi ikitoka katika chupa.

Tanbihi hariri

  1. Pike, Roscoe. adhesive. Encyclopædia Britannica Online. Encyclopædia Britannica Inc.. Iliwekwa mnamo 9 April 2013.