Hassan Athumani Ngwilizi
Hassan Athumani Ngwilizi (amezaliwa 1 Aprili, 1944) ni mbunge wa jimbo la Mlalo katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu Hassan Athumani Ngwilizi (25 Aprili 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-27. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |