1944
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920 |
Miaka ya 1930 |
Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| Miaka ya 1960
| Miaka ya 1970
| ►
◄◄ |
◄ |
1940 |
1941 |
1942 |
1943 |
1944
| 1945
| 1946
| 1947
| 1948
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1944 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 6 Januari - Rolf Zinkernagel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1996
- 9 Februari - Alice Walker, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1983
- 16 Februari - Richard Ford, mwandishi kutoka Marekani
- 26 Machi - Diana Ross, mwanamuziki kutoka Marekani
- 7 Aprili - Gerhard Schröder, Chansela wa Ujerumani (1998-2005)
- 13 Aprili - Euphrase Kezilahabi, mwandishi Mtanzania
- 14 Mei - George Lucas, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 6 Juni - Phillip Sharp, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1993
- 25 Septemba - Michael Douglas, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 19 Oktoba - Peter Tosh, mwanamuziki wa rege
- 21 Oktoba - Jean-Pierre Sauvage, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2016
- 28 Desemba - Kary Mullis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1993
bila tarehe
WaliofarikiEdit
- 23 Januari - Edvard Munch, mchoraji kutoka Norwei
- 23 Oktoba - Charles Glover Barkla, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1917
- 5 Novemba - Alexis Carrel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1912
- 30 Desemba - Romain Rolland, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1915
Wikimedia Commons ina media kuhusu: