Katika utarakilishi, hifadhi muda (kwa Kiingereza: cache) ni vifaa au programu tete zinazotunza data ili ziletwe haraka zaidi. Tovuti zinatumia hifadhi muda ili watumiaji wafaidike na tovuti haraka zaidi.

Mchoro wa hifadhi muda wa bongo kuu tofauti.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.