Maunzingumu

(Elekezwa kutoka Vifaa (tarakilishi))

Maunzingumu (pia maunzi ngumu[1]; kwa Kiingereza: hardware) ni sehemu za kompyuta zinazoshikika . Maunzingumu ni vifaa mbalimbali vinavyounda mashine ya kompyuta, navyo vimegawanyika katika sehemu kuu tatu:

  1. vifaa vya kuingizia data (Input devices),
  2. vifaa vya kutolea data (Output devices) na
  3. vifaa katika tarakilishi (Kadi ya mtandao, Kadi ya sauti, diski kuu).
Bongo kuu inayoitwa PDP-11-M7270.

Maunzingumu haina kazi bila programu na data za maunzilaini.

MarejeoEdit

  1. Maunzingumu ni pendekezo la Kiputiputi katika kamusi ya KSK; orodha za Microsoft na Kilinux za 2004/05 zilitumia "maunzi" pekee, ling. [https://web.archive.org/web/20120806015358/http://www.kilinux.udsm.ac.tz/kiblog/documents/glossary/sw_TZ_Extended_glossary.xls Kilinux Extended Glossary], tovuti ya Kilinux kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (2009), kupitia archive.org
  • Kiputuputi, Omari (2011). Kamusi Sanifu ya Kompyuta, Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Toleo la Kwanza 2011, ISBN 978 9987 531 127