Hifadhi ya Taifa ya Bafing

Hifadhi ya Taifa ya Bafing, iko kusini mwa Mali. Ilianzishwa mnamo 1 Julai 2000. Hifadhi hii ina eneo la kilomita za mraba 5000.

Hifadhi ya Taifa ya Bafing ndiyo eneo pekee linalolindwa kwa sokwe ndani ya eneo la Manding Plateau. Misitu hutawala sehemu kubwa ya mandhari. Hifadhi ya taifa ya Korofin na Wongo (zote ni IUCN jamii: II) ni sehemu za Baiolojia ya Bafing . [1]

Marejeo hariri

  1. "APES MAPPER". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-07-16. Iliwekwa mnamo 2010-07-15. 
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hifadhi ya Taifa ya Bafing kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.