Hifadhi ya Taifa ya Goz Beïda

Hifadhi ya Taifa ya Goz Beïda ni mbuga ya taifa ya nchini Chad na ina eneo la kilomita ya mraba 3000. [1]

Iko karibu na mji wa jina moja katika mkoa wa Sila. Eneo hilo limekumbwa na migogoro ya ndani nchini humo, lakini pia limesalia kuwa kimbilio la spishi nyingi za mimea na wanyama walio hatarini kutoweka.

Marejeo hariri

  1. Walter J Lusigi, Union internationale pour la conservation de la nature et de ses ressources. Commission des parcs nationaux et des aires protégées, International Union for Conservation of Nature and Natural Resources, J W Thorsell, Working Session, IUCN Commission on National Parks and Protected Areas (1987). Action strategy for protected areas in the Afrotropical realm. IUCN. ku. 32–. ISBN 978-2-88032-920-4. 
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hifadhi ya Taifa ya Goz Beïda kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.