Hifadhi ya Taifa ya Tembo ya Addo

Hifadhi ya Taifa ya Tembo ya Addo ni mbuga ya uhifadhi wa wanyamapori iliyo karibu na Gqeberha nchini Afrika Kusini na ni mojawapo ya mbuga 20 za Taifa . Kwa sasa inashika nafasi ya tatu kwa ukubwa baada ya Mbuga ya Taifa ya Kruger na Mbuga ya Transfrontier ya Kgalagadi .

Historia hariri

Sehemu ya asili ya mbuga hiyo ilianzishwa mnamo 1931, [1] kwa kutokana na juhudi za Sydney Skaife.[2] Hifadhi hiyo imeonekana kuwa na mafanikio makubwa na kwa sasa inahifadhi zaidi ya tembo 600 na idadi kubwa ya mamalia wengine.

Picha katika hifadhi hariri

Marejeo hariri

  1. "Addo Elephant National Park". South African National Parks. Iliwekwa mnamo 2008-04-24. 
  2. "Skaife, Sydney Harold ('Stacey') (1889-1976)". Iziko Museums of Cape Town. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-07-18. Iliwekwa mnamo 2009-04-24.