Historia ya Niger inahusu eneo la Afrika Magharibi ambalo wakazi wake leo wanaunda Jamhuri ya Niger.

Uchaguzi wa urais wa 2020-2021 hariri

Jaribio la mapinduzi lilifanyika usiku wa kuamkia Machi 31, 2021, siku chache kabla ya kuapishwa kwa Mohamed Bazoum, rais mteule.

Mnamo Aprili 2, 2021, Mohamed Bazoum aliapishwa na kuchukua madaraka.

  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Historia ya Niger kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.