Mapinduzi (kutoka kitenzi "kupindua" juu chini) ni mabadiliko ya haraka upande wa siasa na miundo yanayotokana na shinikizo la wananchi, linalotumia mara nyingi nguvu.

Mashambulizi ya Bastille, 14 Julai 1789 ndiyo mwanzo wa Mapinduzi ya Ufaransa, ambayo ndiyo maarufu kuliko yote.
George Washington, kiongozi wa Mapinduzi ya Marekani (1775-1783).
Sun Yat-sen, kiongozi wa Xinhai Revolution huko China mwaka 1911.
Vladimir Lenin, kiongozi wa Mapinduzi ya Urusi ya mwaka 1917.

Katika historia ya binadamu mapinduzi yalitokea mara nyingi kwa sababu, mbinu, muda na malengo mbalimbali.

Hayo yalifuatwa na athari kubwa juu ya utamaduni na uchumi wa jamii husika.

Pengine mabadiliko hayo ya mwisho pia yanaitwa mapinduzi hata yasiposababisha serikali ianguke.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • The International Encyclopedia of Revolution and Protest: 1500 to the Present, ed. by Immanuel Ness, Malden, MA [etc.]: Wiley & Sons, 2009, ISBN 1-4051-8464-7
  • Perreau-Sausine, Emile, Les libéraux face aux révolutions : 1688, 1789, 1917, 1933, Commentaire, Spring 2005, pp. 181–193

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mapinduzi kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.