Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre
Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center ni hospitali ya rufaa iliyopo wilaya ya Arusha Mjini, mkoa wa Arusha nchini Tanzania. Hospitali hii ilianzishwa mwaka wa 2008 ili kuhudumia ongezeko la uhitaji wa huduma za kiafya ndani ya jiji la Arusha. Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center (ALMC) ina jumla ya vitanda mia moja (100). [1]
Marejeo hariri
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |