Idd Mohamed Azzan
(Elekezwa kutoka Iddi Mohamed Azzan)
Idd Mohamed Azzan (amezaliwa tar. 8 Oktoba 1965) ni Mbunge wa jimbo la Kinondoni katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu Iddi Mohamed Azzan (13 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-05-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Viungo vya nje hariri
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |