Isack Aloyce Kamwelwe

Isack Aloyce Kamwelwe (amezaliwa 30 Aprili 1956) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Katavi kwa miaka 20152020. [1]

Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe Aloyce Mb

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Aliingia ofisini 
1 Julai 2018
Rais Mhe. Dkt. John Magufuli
mtangulizi Makame Mbarawa

Waziri wa Maji na Umwagiliaji
Muda wa Utawala
7 Octoba 2017 – 1 Julai 2018
Rais Mhe. Dkt. John Magufuli
mtangulizi Gerson Lwenge
aliyemfuata Makame Mbarawa

Mbunge wa Katavi
Muda wa Utawala
2015 – 16 Juni 2020
Rais Mhe. Dkt. John Magufuli

tarehe ya kuzaliwa Aprili 30, 1956
utaifa Mtanzania
chama CCM
Fani yake Mhandisi

Marejeo hariri

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017