Jaka Mwambi

Mwanasiasa wa Tanzania


Jaka Mgwabi Mwambi (1950-2019) alikuwa mwanasiasa na mwanadiplomasia wa nchini Tanzania, aliyepata kuwa mkuu wa mkoa wa Rukwa, Tanga na Iringa na makamu katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi.[1] hadi pale nafasi yake ilipochukuliwa na aliyekuwa mbunge wa Newala, mnamo mwezi Novemba 2007.

Jaka Mwambi

Nchi Tanzania
Kazi yake Mwanasiasa na Mwanadiplomasia

Mwambi aliteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Urusi tarehe 21 Julai 2008[2] akawasilisha hati za utambulisho wa ubalozi kwa rais wa Urusi Dmitry Medvedev tarehe 18 Septemba 2008.[3]

Marejeo hariri