Jerome Heckenkamp (Oktoba 28, 1979 - Machi 8, 2016) alikuwa mtaalamu wa kompyuta wa Australia na Marekani.

Maisha na elimu hariri

Heckenkamp alizaliwa katika jimbo la Australia la New South Wales. Familia yake ilihamia Pewaukee Wisconsin wakati alipokuwa mdogo.

Baada ya kumaliza masomo yake akiwa mdogo, alifanya kazi kama mhandisi wa mtandao wa kompyuta. Baadaye alihukumiwa kwa mashtaka ya udukuzi kwa mashirika kadhaa mashuhuri na vyuo vikuu.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jerome Heckenkamp kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.